Sifa 10 za mwanaume ambaye kila binti anayetaka aolewe angependa aolewe naye!! - Chumba Cha Mapenzi -->

Sifa 10 za mwanaume ambaye kila binti anayetaka aolewe angependa aolewe naye!!


Related image

Sifa 10 za mwanaume ambaye kila binti anayetaka aolewe angependa aolewe naye!!

SIFA 10 ZA MWANAUME AMBAYE KILA BINTI ANAETAKA KUOLEWA ANGEPENDA AOLEWE NAE.
1. Awe na pesa nyingi
2.Siyo lazima awe mzuri wa sura
3. Ajenge ukweni
4.Awe mpole
5.Asimuonee wivu mke wake
6.Awe mwenye upendo wa dhati
7.Asishike simu ya mke wake.
8.Akimkuta na mwanaume apite tu, akitaka kujua ni nani asubiri nyumbani
9.Awe anamskiliza mke wake kwa kika kitu.
10.Asipende mwanamke mwingine zaid yake
UKIMPATA MWANAUME MWENYE SIFA HIZO KAPIME DNA LAZIMA ATAKUWA NI BABA AKO.
😂😂😂😂😂😂😂😂

😁😁😁😂😂😂