Sorry Madam - Sehemu ya 3 - Chumba Cha Mapenzi -->

Sorry Madam - Sehemu ya 3

Umri....18+
Mtunzi:Eddazaria G.Msulwa


 ILIPOISHIA
Nilizungumza kwa kujishtukia huku karoti yake ya bandia nikiificha kwa nyuma ili asiione.Madam Mery akanitazama  kwa macho yanayo ashiria kitu ila sijui ni kiti gani na taratibu akaanza kupita mbele yangu na kwenda alipo tundika taulo lake na kuanza kujifuta maji huku akiwa amenipa mgongo huku mguu wake mmoja akiuweka juu ya meza kisha akainama kidogo ili kuvifikia vidole vya mguu huo alio uweka katika meza na khanga aliyoivaa kwa jinsi ilivyonaatana na mwili wake imeingia kidogo katikati ya mstari wa makalio yake na kuyafanya yagawanyike kama vilima viwili vy Kibo na Mawezi tunavyoviona katika mlima Kilimanjaro

ENDELEA
Madama akaendelea na kazi yake ya kujifuta maji pasipo kunijibu chochote.Nikapiga hatua za taratibu huku nikinyata kuelekea mlango wa kutokea ndani ya chumba hicho kabla sijaufungua Madam Mery akaniita
 
“Eddy unakwenda wapi?”
Swali la Madam likanifanya nikae kimya wala sikujua nijibu kitu gani kwani ninapokwenda ninapajua ni sebleni ila jinsi ya kuzungumza nikajikuta mdomo mzima unakuwa mzito kama ninakunywa uji wa dengu.

Madam akageuka na kunitazama jinsi ninavyo babaika mlangoni nilipo simama
“Umeficha nini huko nyuma kwako?”
“Eheeee!”
“Nikitu gani ulicho kificha huko nyuma kwako?”
 
Nikakaa kimya huku nafsi yangu ikinishawishi niitoe karoti ya bandia niliyoikuta chini ya uvungu nikitafuta panya kuepuka kujiongezea matatizo kwani hapo nilipo ninatatizo la kusimamishwa masomo kwa wikimoja.Nikaitoa karoti yake ya bandia na kumuonyesha Madam nikadhani atakasirika ila nikashangaa akitabasamu na kutoa kicheko kidogo
 
“Iweke tu hapo kwenye kitanda”
Nikaiweka kitandani huku akiwa ananitazama kwa umakini.Nikafungua mlango na kutoka na kwenda sebleni kukaa huku nikiyasikilizia mapigo yangu ya moyo jinsi yanavyo kwenda kwa kasi japo kuna baridi kali ila jasho usoni lina nitiririka.

Baada ya muda kadhaa Madam Mery akatoka chumbani kwake huku akiwa amevalia nguo nyingine zilizo mpendezesha na kuzifanya umbo lake kuonekena viziri huku nywele zake ndefu akiwa amezibana kwa nyuma

“Sasa mwanangu mimi ninaondoka tutaonana mchana.Kama utahitaji kunywa chai utachukua mkate kwenye  friji pia kuna soseji kama wewe ni mlaji unaweza kuzila”
 
“Sawa Madam je chai ipo wapi?”
“Chai sijapika.Njoo nikuonyeshe jikoni”
Nikanyanyuka na Madam akaende kunionyesha jiko lililopo humo humo ndani ya nyumba yake ambayo kila kitu muhimu kinachohitajika katika nyumba kipo ndani na imezungushiwa ukuta mrefu.
“Si unaweza kutumia jiko la gesi?”
“Ndio”
“Basi ukiwa na njaa chai utakuja kuipikia hukuu.Eheee kuna jengine?”
“Mmmmm hakuna”
“Sasa mbona hujaniuliza visufuria vipo wapi au utapikia mikono yako?”
 
Madam alizungumza huku akinipiga kibao kidogo cha shavuni huku akitabasamu na kunifanya nibaki ninashangaa.Nikazidi kushangaa zaidi pale Madam Mery alipo nipiga busu la mdomoni na kutoka ndani ya chumba hicho cha jiko huku akitingisha makalio yake na kuelekea zake shule hata visufuria akasahau kunionyesha ameviweka wapi.

Nikarudi sebleni nikachungulia dirishani kama Madam Mery tayari ameshatoka getini.Nikamuona ndio analibana vizuri geti la kuingilia katika nyumba hii.Nikaiwasha TV(Luninga) ambayo mwanzoni nilikuwa nimeizima kutokana na filamu ya ngono iliyokuwa ndani ya redio.Nikapunguza sauti ya redio hadi ikafika moja na nikatafuta mkao mzuri wa kukaa katika sofa huku nikainza kuitazama filamu ya ngono.Kadri muda ulivyozidi kwenda ndivyo filamu ikazidi kuninogea.
 
Hisia kali zikaanza kunitawala huku nikitamani nipate mwanamke kwa wakati huo ili aitulize karoti yangu ambayo imesimama hadi nikahisi misuli yake inaweza ikakatika au kupasuka kwa maumivu makali niliyo nayo.

Nikanyanyuka na kwenda katika chumba cha Madam nikaanza kutazama ni kopo gani la mafuta linaweza kuwa na mafuta mazuri.Kwa bahati nzuri nikaliona kopo la mafuta ya Baby Care likiwa wazi na mafuta yake yakiwa yamejaa kiasi.Nikachukua kidogo kwenye mkono na kuvua suruali yangu na kukaa katika meza ambayo Madam alikuwa ameiwekea mguu akijifuta maji mwilin mwake.
 
Hisia za wacheza filamu ya ngono niliyokuwa nikiitazama ikaaza kutembea kama mkanda wa video katika akili yangu huku taratibu nikianza kuipaka karoti yangu mafuta taratibu na kuanza kuichua huku picha nyingine ya Madam Mery alivyokuwa ameinama katika meza niliyo ikalia ikanijia kichwani huku nikijikuta ninavutuia hisia ya makalio yake yaliyo makubwa.

Nikazidisha kasi ya kuichua karoti yangu na taratibu nikayafumba macho yangu huku nikisikilizia utamu ninao upata kuanzia katika unyayo hadi kichwani huku miguno ya raha ikinitoka.Nikazidisha kasi zaidi pale nilipolikumbuka busu la Madam Mery alilo nibusu jikoni wakati alipokuwa anatoka kuelekea  kazini.Nikajikuta nikitukana matusi yasiyo na idadi maalumu.Karoti yangu ikatoa risasi zilizo ruka sehemu mbali mbali ndani ya chumba cha Madam.
 
Nikafumbua macho taratibu huku nikihema kama nimetoka kukimbia mbio za Marathoni.Moyo wangu ukanipasuka kama umepigwa bomu la nyuklia baada ya macho yangu kukutana na macho ya Salome akiwa ananishangaa huku akiwa amesimama mlangoni.

Nikafumba macho yangu kwa mara nyingine huku nikihisi ninaota na kuyafumba tena ila nikamkuta Salome pale pale akinitazama kwa mshangao sikujua hata ameingiaje ndani kwa Madam pasipo mimi kusikia chochote.Kwa aibu nikanyanyuka na kuipandisha suruali yangu na kujifunga vizuri mkanda
“Unataka nini?”
“Madam ameniagiza unipe simu yake ameisahau juu ya meza ya Tv chumbani kwake”
 
Nikageuza macho yangu na kuikuta simu ya Madam juu ya meza, Nikamuonyesha Salome akaenda kuichukua na kutoka ndani ya chumba cha Madam huku akitizama tizama nyuma.Nikauegemea mlango huku kajasho kakinitiririka.Nikamsikia Salome akizungumza na mwenzake
“Shosti twende zetu achana na hiyo movie tunachelewa”
“Mbona na wewe umechelewa kutoka humo ndani”
“Nilikuwa siioni simu nyenyewe”
 
“Huyo Eddy tuliye ambiwa tutamkuta umemuona?”
“Sijamkuta sijui atakuwa wapi”
“Ok twende zetu”
 
Moyo ukazidi kunipasuka nikakumbuka kwamba sikuizima TV(Luninga) ambayo nilikuwa ninatazama filamu ya ngono.Nikasikia wakifunga mlango wa kutokea nje.

Nikafungua haraka mlango na kwenda kuwachungulia dirishani nikamuona Salome akiwa na yule rafiki yake wa jana wakimalizikia kutoka getini,Nikaizima TV(Luninga).

Nikarudi chumbani kwa madam na kuanza kufanya usafi katika kila sehemu iliyopata madhara ya risasi za karoti yangu kisha nikaelekea bafuni kuoga ikanilazimu kuifua suruali kwani nayo imepeta madhara.

Nikaingia jikoni nikapika chai na baadhi ya soseji,Nikanywa chai ya nguvu kutokana na uchovu wa kutokulala jana usiku nilipokuwa kwenye kibanda cha walinzi nikajikuta nikipitiwa na usingizi mzito kwenye sofa
 
Nikahisi kitu kikipita katika uso wangu taratibu huku kikichezea chezea lipsi zangu,nikayafumbua macho yangu taratibu ila kutokana na usingizi sikuweza kumuona vizuri mtu aliye kaa pembeni yangu.

Nikajifariji atakuwa na Madam Mery nikalala kidogo huku nikihisi kitu cha baridi kikiingia katika sikio langu.Nikakurupuka kama mwanajeshi anaye sinzia lindo la usiku na kustushwa na sauti ya bosi wake.Nikamkuta Madam Mery akiwa amejifunga tenge na akawa ananicheka kwa jinsi nilivyo stuka
 
“Shikamoo Madam”
“Marahaba……..kumbe na wewe ni muoga ehee?”
“Hapana ila nilikuwa ninajihami kama kamanda”
“Kwenda zako huko kamanda gani wewe unayelala fofofo kama mtu aliyekufa yaani.Nimerudi nikapika chakula cha usiku hadi saa hizi saa mbili ndio nimeamua kukuamsha ule ila hukusikia chochote bado unajiona unasifa za kujiita kamanda?”
 
“Ahhh unajua madam jana usiku sikulala wale jamaa pale getini hawakunipa hata shuka la kujifunika”
“Mbona umelala na boxer suruali iko wapi?”
“Suruali nimeifua nilipokuwa nimekwenda kuoga”
Madam akawasha TV(Luninga) na kuweka upande wa chaneli tukaanza kuangalia taarifa ya habari.Madam akatandika kajimkeka kadogo ambacho nimezoea kuviona kipindi cha mfungo wakati watu wakifuturu.Kisha akaandaa chakula na kunikaribisha kukaa katika kijimkeka,Tukaanza kula huka Madam Mery akibadili mikao tofauti ya kihasara hasara na wakati mwengine ikapelekea hadi nikawa ninaiona nguo yake ya ndani
 
“Eddy una umri gani?”
“Miaka 20 ila mwezi ujao natimiza miaka 21”
“Eheee kumbe bado wewe ni chalii mtu akikuona na hilo umbo lako anaweza kusema una miaka 25 na kuendelea”
“Kweli wakati mwengine mpaka najiongezea umri kwani mtu ukimwabia nina miaka 20 anabi…..sha”
Nikjikuta nikiimalizia sentesi yangu kwa shida baada ya tenge lote alilo jifunga Madam Mery likiwa limefunuka na kuyaacha mapaja makubwa ya Madam Mery kuwa wazi na hapo ndipo nikaiona vizuri aina ya chupi aliyo ivaa.Uvumilivu ukanishianda nikajikuta ninauweka mkono wangu wa kushoto usio na chakula juu ya paja moja la Madam Mery na akawa kimya akinitazama nitafanya kitu gani kingine
“Eddy”
“Naam”
“Nakuomba uutoe mkono wako kwani utanipandisha majini yangu alafu ushindwe kuyashusha na ukanipa shida usiku wote”
 
“Majini gani hayo madam”
“Unataka uyaone jinsi yalivyo?”
“Ndio”
Madam Mery akacheka kisha akasimama wima na kunitazama kisha akatoa msunyo mkali ulio niogopesha na kujikuta nikirudi nyuma kidogo.

Akaninyooshea mkono kwa ishara ya kutaka kuninyanyua ila nikasita kwani sura yake amejikunja kama mtu aliye chukizwa na kitu.Akarudia tena kunipa mkono safari hii sikutaka kuogopa nikaushika mkono wake kisha akaninyanyua tukaanza kupiga hatua za taratibu na kuingia chumbani kwake.Madam akalifungua tenge lake  na kubakiwa na chupi aliyo ivaa.
Nikamshika kichwa madam na kukivutia kwangu na kuanza kumnyonya denda la fujo huku nikijitahidi kubadilishana naye mate.
 
“Eddy ngoja kwanza”
“Kuna nini tena Madam”
“Subiri kwanza”
Madam akapiga hatua hadi kwenye dreasing table yake akafungua moja ya droo ndogo akatoa vifaa Fulani vidogo na sindano vijidogo viwili ambavyo ninakumbuka niliviona siku moja baba alipokwenda kutupima afya mimi pamajo na mama katika hospitali yao ya jeshi
“Vya kazi gani madam”
“Nataka tupimane HIV kabla hatujafanya chochote”
“Khaa…..!!”
*****************